1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baraza kuu la UN lamalizika

2 Oktoba 2018

Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa umemalizika huku rais wa baraza hilo Maria Fernanda Espinosa akisema moja ya mafanikio makubwa yaliyopatikana kwenye mkutano huo ni dunia kuunga mkono Umoja huo na kutilia mkazo ushirikiano wa pamoja kimataifa.

https://p.dw.com/p/35rmM