1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Atumia usafiri wa farasi kutokana na ongezeko la bei ya mafuta

23 Juni 2022

Katika Wanawake na Maendeleo, tunamulika mwanamke mmoja wa jimbo la Hesse magharibi mwa Ujerumani ambaye anamiliki mifugo ya farasi, na sasa ameacha kutumia usafiri wa gari lake na kuanza kutumia usafiri wa farasi ili kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta

https://p.dw.com/p/4D8WR