1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Athari za kukatwa kwa mawasiliano ya Intaneti Uganda

14 Januari 2021

Kukatwa kwa mawasiliano ya intaneti kumesababisha madhara makubwa nchini Uganda, na miongoni mwa waathirika ni waandishi wa habari ambao kwa kiasi kikubwa wanatumia teknolojia hiyo. Kuhusu namna walivyoumizwa na hatua hiyo, Lilian Mtono amezungumza na mhariri wa shirika la habari la Uganda la URN Ahmed Wetaka na kwanza anazungumzia athari hizo

https://p.dw.com/p/3nux5