Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaamuru operesheni ya kuwaokoa watu baada ya volkano kuripuka karibu na mji wa Goma.//
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa latoa wito wa msaada wa dharura kwa wakaazi wa Ukanda wa Gaza.// Wanariadha 20 wafariki wakishiriki mbio nchini China baada ya hali ya hewa kugeuka na kuwa mbaya ghafla