1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Anis Amri

Anis Amri aliendesha gari na kuwagonga watu waliokuwa kwenye soko la Krismas mjini Berlin Desemba 2016, na kusababisha vifo vya watu 12. Siku nne baadae, alipigwa risasi na kuuawa na polisi wa Italia wakati akikimbia.