1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Anaibua na kuwasilisha mawazo, changamoto za vijana, Je nirahisi?

22 Aprili 2022

Valentina Thomas ni msichana ambaye anaziibua changamoto za vijana na kuziwasilisha mahala husika anawasema vijana katika majukwaa mbalimbali, jamii,siasa, jinsia na hata kiuchumi anatamani kumuona msichana kutoka ulimwengu wa tatu akileta mabadiliko na kufungua minyororo iliomfunga msichana kutofikia malengo yake.

https://p.dw.com/p/4AHhu