1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ali Hassan Mwinyi

Ali Hassan Mwinyi alizaliwa Mei 8, 1925 Kivure mkoani Pwani. Alikuwa rais wa pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia 1985 – 1995. Aliwahi pia kuwa rais wa Zanzibar, makamu wa rais na waziri wa Mambo ya ndani.

Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii

Maudhui yote kwenye mada hii