1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Alexander Gerst

Alexander Gerst ni daktari ya Jiofizikia aliesomea Karlsruhe, New Zealand na Hamburg. Ni mwana anga wa Ujerumani aliekuwa sehemu ya chombo kilichokwenda kwenye kituo cha anga cha kimataifa kuanzia Mei hadi Novemba 2014.