1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Akili mnemba itapunguza vijana kutumia maktaba?

10 Julai 2024

Ukweli usiopingika ni kwamba akili mnemba ama akili ya kubuni inatumiwa na wengi katika masuala mbalimbali kwenye sekta ya elimu. Wanafunzi pia wanatumia teknolojia hii, lakini wasiwasi wa baadhi ya wafuatiliaji ni kwamba teknolojia hii inaweza kusababisha vijana wengi kutotumia vitabu na hata maktaba kwa ajili ya kujisome. Sikiliza mjadala wa vijana.

https://p.dw.com/p/4i751