1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ajira kwa watu wenye VVU Rwanda

Sylivanus Karemera4 Januari 2013

Madhila makubwa yawapatayo wanaoishi na Virusi Vinavyosababisha Ukimwi (VVU) ni kubaguliwa na jamii, ambako huumiza zaidi kuliko hata ugonjwa wenyewe. Nchini Rwanda, mwanamke mmoja ameamua kuwasaidia kupambana nalo.

https://p.dw.com/p/17CwY

Sylvanus Karemera anazungumzia namna mwanamke shupavu nchini Rwanda anavyovunja kuta za ubaguzi dhidi ya wale wanaoishi na VVU na kuwapatia fursa za ajira kwenye kilimo cha uyoga.