1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Wiki Hii

2 Februari 2024

Mripuko wa mitungi ya gesi nchini Kenya wasababisha maafa na majeruhi jijini Nairobi,Viongozi wa Afrika washiriki mkutano kuhusu ushirikiano na waziri mkuu wa Italia mjini Roma. Umoja wa Afrika watowa mwito wa kufanyika majadiliano kati ya ECOWAS na tawala za kijeshi za Niger,Mali na BurkinaFaso baada ya kutangaza kujiondowa kwenye jumuiya hiyo.Sikiliza Afrika Wiki hii na Saumu Mwasimba

https://p.dw.com/p/4byoI