1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Wiki HII

8 Desemba 2023

Rais wa Tanzania atoa hakikisho la serikali yake kuwa pamoja na watu wa Hanang, waliokumbwa na madhara makubwa baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko, wanajeshi wa EAC waondoka nchini Congo, baada ya muda wao kumalizika, na Kiongozi wa upinzani Uganda Robert Kyagulanyi matatani kufuatia matamshi yake makali. Mtayarishaji ni Amina Abubakar Mjahid.

https://p.dw.com/p/4ZxLb