1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Wiki Hii

20 Oktoba 2023

Raia wa Afrika Kusini waandamana nje ya ofisi wa ubalozi wa Israel, kupiga mzozo unaonedelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas, rais wa Kenya atangaza mpango wa afya bora kwa wote na huko Madagascar wagombea wa upinzani wawakosoa polisi kutumia nguvu kupitia kiasi, dhidi ya maamndamano ya kupinga kile wanachokiita mapinduzi ya taasisi nchini humo. Mtayarishaji ni Amina Abubakar Mjahid.

https://p.dw.com/p/4Xp7b