1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

zainab Aziz6 Septemba 2024

Yaliyoandikwa kwenye magazeti ya Ujerumani juu ya Afrika wiki hii ni pamoja na swali lililoulizwa na gazeti la die tageszeitung, jee nani ni rafiki mkubwa kabisa wa China? Juu ya kifo cha mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegei. Nchi tano ndizo hasa zinahusika kupeleka silaha zinazokoleza vita nchini Sudan.

https://p.dw.com/p/4kMto