1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

ZainabAziz30 Agosti 2024

Maswala ya Afrika yaliyoangaziwa na magazeti ya Ujerumani mnamo wiki hii ni pamoja na mvutano wa miaka mingi kati ya Misri na Ethopia juu ya udhibiti wa maji ya mto Nile. Mlipuko wa maambukizi ya virusi vya Mpox kwenye nchi kadhaa za Afrika. Mjerumani, Bruno Labbadia, atakuwa kocha wa timu ya taifa ya kandanda ya Nigeria.

https://p.dw.com/p/4k6uO