1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.03.2024 Matangazo ya Mchana

31 Machi 2024

Papa Francis aongoza Misa ya Pasaka akizungumzia migogoro ya kimataifa. Mashambulizi yaipiga Gaza huku mazungumzo ya kusitishwa mapigano yakitarajiwa kuanza tena. Romania na Bulgaria zajiunga na kanda ya kusafiri Ulaya bila viza.

https://p.dw.com/p/4eIJ8