Rais wa FIFA Sepp Blatter aeleza kushtushwa na uchunguzi wa Marekani dhidi ya maafisa wa shirkisho hilo wanaotuhumiwa kwa rushwa, afisa mwandamizi wa tume ya uchaguzi Bunundi atorokea Rwanda, na zaidi ya wahamiaji 4,000 waokolewa katika bahari ya Mediterrania.