1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaTogo

30.04.2024: Taarifa ya habari ya asubuhi

30 Aprili 2024

Jumuiya ya kujihami ya NATO yasema wanachama wake hawajatimiza ahadi ya msaada wa silaha kwa Ukraine, mfanyakazi wa zamani wa NSA ahukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 21 kwa kujaribu kuifanyia Urusi upelelezi na Togo yapiga kura kuwachagua wabunge baada ya mageuzi ya kikatiba yaliyosababisha mgawanyiko

https://p.dw.com/p/4fKkQ
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)