1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.01.2017 : Matangazo ya mchana

Isaac Gamba
28 Januari 2017

Tuliyo nayo ni pamoja na : Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamtaka Rais wa Marekani Donald Trump kuwapatia hifadhi wakimbizi// Kashifa kuhusina na vitendo vya utovu wa nidhamu yaibuka katika kituo cha mafunzo ya kijeshi nchini Ujerumani// Rais wa Iran Hassan Rouhani akosoa hatua ya Trump kujenga ukuta mpakani na Mexico.

https://p.dw.com/p/2WYss