Tuliyo nayo ni pamoja na: Ujerumani na Ufaransa zakubaliana hatua yoyote itakayolenga kuiondolea vikwazo Urusi izingatie maendeleo kuhusiana na mchakato wa amani wa Ukraine mashariki//Wanajeshi 40 wa Uturuki waomba hifadhi Ujerumani//Abiria kutoka Iraq na Yemen waliokuwa njiani kwenda Marekani wazuiwa Cairo.