Wamarekani wanafuatilia mjadala wa kwanza wa uchaguzi wa Marekani 2024+++Ugiriki inajiandaa kuanza sheria ya kufanya kazi siku sita wakati ambapo nchi nyingine za Ulaya zikifanya majaribio ya kupunguza muda wa kufanya kazi+++Serikali ya Uganda imeanzisha mpango wa kuwasaidia watu wanye tatizo la uraibu wa kucheza kamari