Waandamanaji nchini Kenya wamevamia majengo ya bunge wakipinga hatua ya bunge la taifa kupitisha mswada wa sheria ya fedha ya mwaka 2024 ambapo watu wasiopungua 10 wanaripotiwa kupigwa risasi +++Hatimaye Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Kongo, Monusco, umefunga virago vyake katika mkoa wa Kivu kusini leo.