Licha ya serikali ya Tanzania kukiri kuwepo kwa janga la virusi vya corona nchini humo, viongozi wengi wakiwemo mawaziri wameendelea kupuuza umuhimu wa kuvaa barakoa. Wananchi wasema wanaonesha mfano mbaya// Chama cha riadha nchini Kenya, kimewazuia wanariadha wake kwenda kushiriki mashindano makubwa ya riadha ya Tanzania (Kilimanjaro Marathon).