1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.08.2020 - Taarifa ya Habari ya Asubuhi

V2 / S12S24 Agosti 2020

Mamia kwa maelfu ya watu waandamana nchini Belarus kumtaka rais Alexander Luakshenko kujiuzulu. Wanajeshi nchini Mali wamekubali kuwaachia viognozi wa serikali wanaowashikilia tangu kufanyika mapinduzi. Klabu ya Bayern Munich imenyakua ubingwa wa Champions League kwa mara ya sita.

https://p.dw.com/p/3hNt1