1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.02.2024: Matangazo ya Mchana

DIRA.BZ24 Februari 2024

Miongoni mwa yaliyomo kwenye Matangazo ya Mchana ni miaka miwili sasa tangu Urusi ilipoivamia kikamilifu Ukraine.Rais wa zamani wa Urusi, Dmitry Medvedev aapa kwamba Urusi italipiza kisasi dhidi ya vikwazo vya magharibi na Marekani yapinga vikali upanuzi wa makazi ya kilowezi kwenye Ukingo wa Magharibi. Lakini pia utasikiliza kipindi cha Maoni Mbele ya Meza ya Duara.

https://p.dw.com/p/4cpcm