1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.09.2021 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

23 Septemba 2021

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Jumatano umetoa ahadi ya kuongeza maradufu jitihada ya kukabiliana na vitendo vya ubaguzi wa rangi duniani kwa zingatio la maazimio ya kongamano ya kupinga ubaguzi rangi la 2001 la Afrika Kusini.

https://p.dw.com/p/40gSn