Joe Biden aapishwa kuwa rais wa 46 wa Marekani na kutangaza kuwa demokrasia imeshinda // Viongozi wa Umoja wa Ulaya kukutana leo kuzijadili changamoto zinazoongezeka za janga la corona // Na ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waonya kuwa waasi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanajaribu kuuzingira mji mkuu Bangui