Siasa20.04.2023 Taarifa ya Habari ya AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette20.04.202320 Aprili 2023Zaidi ya watu 85 wamekufa na mamia wengine kujeruhiwa katika mkanyagano kwenye hafla ya usambazaji wa misaada huko Yemen, taifa lenye kukabiliwa na vita, likiwa moja kati ya tukio baya zaidi katika muongo mmoja.https://p.dw.com/p/4QKGIMatangazo