Matangazo
Martin Schulz atangazwa na chama cha SPD kuwa mgombea rasmi wa Kansela wa Ujerumani huku akitangaza mwongozo wa sera yake.
Israel yaonya kushambulia mifumo ya jeshi la Syria ikiwa itajaribu kushambulia ndege zake zinazofanya mashambulizi dhidi ya silaha zinazopelekewa kundi la Washia wa Hezbollah
Joackim Gauck akamilisha rasmi hatamu yake kama rais wa Ujerumani