1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.09.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S17 Septemba 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amelitaka jeshi la polisi nchini humo kuendelea kusimamia maadili ya askari, akisema halipaswi kuhusika au kuhisishwa katika ukiukaji wa haki za sheria+++Viongozi wa vyama vya kihafidhina nchini Ujerumani vya CDU na CSU wamemteua kiongozi wa chama cha CDU, Friedrich Merz, kugombea wadhfa wa kansela wa Ujerumani

https://p.dw.com/p/4kjMf