Kiongozi wa Iran aondoa uwezekano wa mazungumzo na Marekani/ Kikao cha 74 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kitafunguliwa rasmi na Katibu mkuu wa umoja huo Antonio Guterres kwa kumkaribisha Rais anayeingia wa baraza hilo Tijani Mohamed wa Nigeria/ Tanzania: Viongozi tisa wa CHADEMA wameshindwa kuanza kujitetea katika kesi ya uchochezi inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu