Rwanda: Kesi ya ugaidi dhidi ya Rusesabagina inaanza kusikilizwa leo/ Imetimia miaka 10 tangu kutokea wimbi la maandamano lililofuatiwa na mapinduzi yaliomng'oa madarakani kiongozi wa muda mrefu kanali Gaddafi nchini Libya/ Ngozi Okonjo-Iweala ameteuliwa kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya mkuu wa shirika la biashara la kimataifa WTO/ Burkina Faso: Watu milioni moja kuyakimbia makaazi yao