1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.12.2023 Taarifa ya Habari ya Asubuhi.

15 Desemba 2023

Viongozi wa Umoja wa Ulaya walikubaliana Alhamisi kuanzisha mazungumzo na Ukraine na Moldova kuhusu kujiunga na umoja huo, licha ya tishio la awali la Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban kuupinga mpango huo.

https://p.dw.com/p/4aAsX