Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ina sifa ya kuwa moja ya nchi zinazokabiliwa na ufisadi, ikishika nafasi ya 170 kati ya mataifa 180+++Marekani imeazimia kurejea katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa miaka mitatu na nusu tangu utawala wa Rais Donald Trump kuiondoa +++Uturuki imeongeza mauzo yake ya ndege zisizo na rubani zenye silaha kwa kuingia mikataba na Morocco na Ethiopia.