1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.09.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Septemba 2024

Jeshi la polisi nchini Tanzania limeyapiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanywa na chama kikuu cha upinzani nchini humo, Chadema, siku ya Septemba 23+++Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amelivunja bunge la nchi hiyo lenye idadi kubwa ya wabunge wa upinzani.

https://p.dw.com/p/4kaoz