1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.09.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S13 Septemba 2024

Chama tawala nchini Tanzania, CCM, kimesema kinataka kuona wimbi la vitendo vya utekaji linalokwenda sambamba na mauaji ya raia linamalizika kwa njia ya utulivu na maelewano na siyo kama hatua iliyotangazwa na chama kikuu cha upinzani+++Mamlaka za Ujerumani zimesema zimemkamata kijana mwenye miaka 27 raia wa Syria anayetuhumiwa kupanga shambulio dhidi ya wanajeshi kwa kutumia mapanga.

https://p.dw.com/p/4kc6b