1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.09.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S12 Septemba 2024

Hali inarejea kuwa ya kawaida katika viwanja vya ndege nchini Kenya baada ya wafanyakazi wa sekta hiyo kuusitisha mgomo uliodumu kutwa nzima hapo jana+++Marekani imesema inaunga mkono kuanzishwa kwa viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya nchi za Afrika.

https://p.dw.com/p/4kXoo