1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.08.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S7 Agosti 2024

Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobeli Muhammad Yunus, ambaye anatazamiwa kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh anatarajiwa kuapishwa kesho mjini Dhaka+++Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Antony Blinken amesema kiongozi mkuu mpya wa Hamas aliyechaguliwa na kundi hilo ana mamlaka ya kuhakikisha makubaliano ya kusitisha mapigano yanapatikana

https://p.dw.com/p/4jDMx