Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobeli Muhammad Yunus, ambaye anatazamiwa kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh anatarajiwa kuapishwa kesho mjini Dhaka+++Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Antony Blinken amesema kiongozi mkuu mpya wa Hamas aliyechaguliwa na kundi hilo ana mamlaka ya kuhakikisha makubaliano ya kusitisha mapigano yanapatikana