1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.05.2017 Taarifa ya habari ya asubuhi

7 Mei 2017

Kundi la waasi nchini Nigeria la Boko Haram limewaachia huru wasichana 82 waliowateka nyara zaidi ya miaka mitatu iliyopita wakiwa shuleni mjini Chibok Nigeria na Baada ya kampeni iliyozongwa na kashfa na mishangao, wapiga kura nchini Ufaransa leo hii wataamua nani atakaewaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

https://p.dw.com/p/2cXgB