1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.09.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S6 Septemba 2024

Nchini Kenya wanafunzi 17 wa shule ya msingi ya Hillside Endarasha wamefariki dunia baada ya bweni lao kuunguwa moto usiku wa kuamkia leo+++Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine ameshiriki mkutano nchini Ujerumani uliowakusanya waungaji mkono wa kimataifa wa nchi yake.

https://p.dw.com/p/4kMAf