1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.09.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Septemba 2024

Rais Xi Jinping wa China leo hii ametoa ahadi ya kitita cha zaidi ya dola bilioni 50 kwa ufadhili wa mataifa ya Afrika katika kipindi cha miaka mitatu ijayo+++Mwanariadha wa Olimpiki wa Uganda Rebecca Cheptegei ambaye alichomwa moto na mpenzi wake huko nchini Kenya siku ya Jumapili amefariki dunia.

https://p.dw.com/p/4kJBB