Mawaziri walioapishwa ni wawili kutoka ACT - Nassor Ahmed Mazrui na Omar Said Shaaban, na Dk. Saada Mkuya kutoka CCM// Kenya-Waandishi habari wanne na mbunge wameshambuliwa katika vurugu zilizoukumba uchaguzi mdogo waeneo la London, Nakuru// ICC yaanza kuchunguza uhalifu katika maeneo ya Wapalestina// Ujerumani kulegeza kwa hatua vizuizi vya COVID-19.