1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.03.2018: Matangazo ya Mchana

4 Machi 2018

Tuliyonayo mchana huu ni pamoja na Chama cha Social Democrat, SPD cha Ujerumani charidhia kujiunga kwenye serikali ya muungano, Italia yapiga kura katia uchaguzi uliogubikwa na sintofahamu kubwa na Korea Kusini yapeleka ujumbe Korea Kaskazini tayari kwa mazungumzo ya kukabiliana na wasiwasi baina yao.

https://p.dw.com/p/2tfDE