1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.10.2023 Matangazo ya Asubuhi

2 Oktoba 2023

Mamlaka nchini Iraq imesema meya na mkuu wake wa zimamoto ni miongoni mwa maafisa watano wa taifa hilo waliofutwa kazi kwa kile kilichoelezwa kuwa "uzembe mkubwa" baada ya ajali ya moto ya wiki iliyopita ulioua watu 107 kwenye harusi.

https://p.dw.com/p/4X1sx