1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.10.2021 Kipindi cha Karibuni

1 Oktoba 2021

Kamanda Jamal Rwambow, kachero mstaafu wa polisi aliyeshinda vita dhidi ya mauwaji ya jamii ya watu wenye ulemavu wa ngozi Kanda ya Ziwa. Pamoja na mingine msikilize alipozungumza na Sudi Mnette kuhusu kitabu chake kipya "Maisha ya kachero wa jeshi la polisi."

https://p.dw.com/p/419cO