1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watoto wanaharakati wa sheria za barabarani Tanzania

8 Januari 2021

Kutana na wanahabari watoto nchini Tanzania wanaoendeleza kampeni za usalama barabarani kupitia vipindi vya redio. Mwandishi wa habari chipukizi Hadija halifa anawaangazia pamoja na juhudi zao kwenye makala ya Msichana Jasiri

https://p.dw.com/p/3ngKM