1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baadhi ya Waukraine waamua kutoroka kuliko kupigana na Urusi

6 Oktoba 2023

Tangu kuanza kwa uvamizi kamili wa Urusi nchini Ukraine, mamia ya maelfu ya wanaume wamejitolea kuilinda nchi yao. Sasa Ukraine inahitaji kujaza safu kupitia uandikishaji wa kijeshi. Baadhi ya Waukraine wanakataa kupigana na kutafuta njia za kuondoka.

https://p.dw.com/p/4XCN1