Waganda waandamana kupinga mpango wa kupelekwa mswada utakaoondoa kipengee cha katiba cha ukomo wa umri wa kugombea uchaguzi,Kenya uchaguzi mpya kufanyika Oktoba 26 na Wamexico wapo msibani kufuatia watu zaidi ya 230 hadi sasa kufariki kutokana na tetemeko la ardhi