1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana Mubashara: Madhara ya mitandao ya kijamii kwa afya ya akili

3 Agosti 2023

Kwenye Vijana Mubashara na leo kwenye 77 asilimia tunajadili athari za mitandao ya kijamii kwa afya ya akili, Kutokana na kuongezeka kwa mitandao ya kijamii, idadi ya vijana wanaokabiliwa na matatizo ya afya ya akili inaongezeka pia kulingana na uwepo wao mtandaoni. Sulemani Mwiru ndiye muongozaji wa kipindi hiki.

https://p.dw.com/p/4Uk5u