Mazoezi yana faida lukuki ikiwemo afya bora na ujenzi wa mwili. Hata hivyo, kuna baadhi ya vijana ambao hufanya mazoezi kwa nia tu ya kutaka kusifiwa au kupata umaarufu mitandaoni. Je, lengo lako hasa la kuingia "gym" ni lipi? Nahodha wako katika makala ya Vijana Mchakamchaka ni Amina Abubakar.